DVD YA MUNGU HABADILIKI YA MESS JACOB CHENGULA

Thursday, January 30, 2014

GWT KUVAMIA PWEZA SINZA MORI - BONGO

GWT ni kundi la waimbaji wa nyimbo za injili Tanzania, ni vijana walioamua kumtumikia Mungu kwa akili zao na mali zao wakiwa bado vijana. Huduma yao ya uimbaji imefanyika baraka kubwa sana kwa walio wengi waliobahatika kusikia au kuwaona wakimtumikia Mungu. Hakika ukiwaona hawa vijana utatamani kuwaona tena na tena kwa wema wao na ukarimu wao. Watanzania tuna bahati kubwa sana kutoka kwa Mungu kwa kile Mungu ameweka ndani ya waimbaji hawa. Kundi lao limesikika Afrika Mashariki kwa matunda yao, wamekuwa wakipata miaaliko mengi sana kwaajili ya kuhudumia mioyo ya watu. Tunawaombea maisha mema na Mungu azidi kulidumisha kundi lao.

Baadhi ya waimbaji wa GWT wakiwa Sinza Mori wakipata msosi wa mchana

No comments:

Post a Comment