Siku ya Jumapili 22/06/2014 ilikuwa ni siku ya kufanyika uzinduzi wa albamu ya Atosha Kissava katika kanisa la marehemu mama mchungaji Debora Said hapo Mabibo Extenal Ubungo jijini Dar es Salaam. Tamasha hili halitafanyika mpaka mtakapotangaziwa tena.
Tunawaomba radhi kwa yote yaliyotokea na tunasikitika sana na kifo cha mtumishi wa Mungu Debora Said

Atosha Kissava

Marehemu Debora Said

Tunawaomba radhi kwa yote yaliyotokea na tunasikitika sana na kifo cha mtumishi wa Mungu Debora Said

Atosha Kissava

Marehemu Debora Said

No comments:
Post a Comment